Kikosi cha Timu ya Taifa ya Serengeti Girls inajiandaa na Fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika Nchini India Kuanzia Oktoba 14 hadi 31 Mwaka Huu 2022, wakiwa katika maandalizi ya michuano hiyo Nchini Uingereza kwa mchezo wa kirafiki na Timu ya Southampton ya Uingereza mchezo uliofanyika jana na Timu ya Serengeti Girls imeshinda mchezo huo kwa bao 3-0.(Picha na Rahel Pallangyo )
WAKILI MPANJU AWATAKA MAAFISA MAENDELEO YA JAMII KAGERA KUSHIRIKIANA NA
WADAU KATIKA KULETA MAENDELEO
-
Na Silivia Amandius -Kagera RS
Naibu Katibu Mkuu kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na
Makundi Maalum, Wakili Amon Mpanju, amewata...
2 hours ago















No comments:
Post a Comment