Kikosi cha Timu ya Taifa ya Serengeti Girls inajiandaa na Fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika Nchini India Kuanzia Oktoba 14 hadi 31 Mwaka Huu 2022, wakiwa katika maandalizi ya michuano hiyo Nchini Uingereza kwa mchezo wa kirafiki na Timu ya Southampton ya Uingereza mchezo uliofanyika jana na Timu ya Serengeti Girls imeshinda mchezo huo kwa bao 3-0.(Picha na Rahel Pallangyo )
MRADI WA MAJI BILIONI 119 KUIFAIDISHA RUANGWA - MAJALIWA
-
*Ashiriki kikao cha kutambulisha miaka miwili ya Rais Samia
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali inakuja na mradi mkubwa wa
maji wenye thamani ya...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment