Kikosi cha Timu ya Taifa ya Serengeti Girls inajiandaa na Fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika Nchini India Kuanzia Oktoba 14 hadi 31 Mwaka Huu 2022, wakiwa katika maandalizi ya michuano hiyo Nchini Uingereza kwa mchezo wa kirafiki na Timu ya Southampton ya Uingereza mchezo uliofanyika jana na Timu ya Serengeti Girls imeshinda mchezo huo kwa bao 3-0.(Picha na Rahel Pallangyo )
WADAU WAPONGEZA JUHUDI ZA WAZAZI KUTATUA CHANGAMOTO ZA ELIMU WILAYA YA
MPIMBWE
-
*Sehemu ya wazazi wakiwa katika mikutano na washiriki wa Maadhimisho ya
Juma la Elimu (GAWE) 2025, kwenye ziara katika shule mbalimbali ndani ya
Halma...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment