Habari za Punde

Tanzania yashiriki ufunguzi rasmi wa Kombe la Dunia kwa Watu wenye Ulemavu.

Matukio katika picha yakionesha Shamrashamra katika uwanja wa Ulker Uliopo nchini Uturuki kwenye Hafla ya ufunguzi rasmi wa Mashindano ya Kombe la Dunia kwa Watu wenye ulemavu leo Septemba 30, 2022.

Timu kutoka Tanzania Tembo Warriors ambayo ilifuzu kucheza mashindano hayo nayo imeshiriki ufunguzi huo na mechi yao ya kwanza dhidi ya Hispania itachezwa hapo kesho Oktoba 1, 2022 saa saba kamili mchana.

Hadi mwisho wa mechi ya ufunguzi Uturuki wameshinda 3-0 dhidi ya Ufaransa










 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.