MJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akipiga kura kuwachagua Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM, wakati wa Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi wa 10 uliofanyika leo katika ukumbi wa mkutano wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma leo 7-12-2022.(Picha na Ikulu)
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu Chama Cha Mapinduzi ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akipiga kura kumchagua Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar Mhe Dk.Husseinn Ali Mwinyi, wakati wa Mkutano Mkuu wa CCM uliofanyika leo 7-12-2022, katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma.(Picha na Ikulu)
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu Chama Cha Mapinduzi ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akipiga kura kumchagua Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan, wakati wa uchaguzi Mkuu wa CCM uliofanyika leo 7-12-2022, katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma.(Picha na Ikulu)
SIX DECADES STRONG, CELEBRATING THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA'S PROUD
UNION ANNIVERSARY
-
*60 years of the United Republic of Tanzania, We are united and
Strengthened for the Development of Our Nation.*
1. Introduction.
The United Republic ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment