MJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akipiga kura kuwachagua Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM, wakati wa Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi wa 10 uliofanyika leo katika ukumbi wa mkutano wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma leo 7-12-2022.(Picha na Ikulu)
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu Chama Cha Mapinduzi ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akipiga kura kumchagua Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar Mhe Dk.Husseinn Ali Mwinyi, wakati wa Mkutano Mkuu wa CCM uliofanyika leo 7-12-2022, katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma.(Picha na Ikulu)
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu Chama Cha Mapinduzi ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akipiga kura kumchagua Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan, wakati wa uchaguzi Mkuu wa CCM uliofanyika leo 7-12-2022, katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma.(Picha na Ikulu)
MIAKA 25 YA CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA TANZANIA IMEBORESHA UTUMISHI WA UMMA
NCHINI – MWAIPAYA
-
Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Mhe. Abdallah Mwaipaya, aliyemwakilisha Mkuu wa
Mkoa wa Mtwara, amesema hayo wakati wa hafla ya kuhitimisha mbio za
Utumishi M...
12 minutes ago
0 Comments