Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na Rais wa Marekani Mhe. Joe Biden pamoja na Viongozi mbalimbali wa nchi za Afrika na Marekani kabla ya kuanza kwa ufungaji wa mkutano huo uliofanyika kwenye ukumbi wa Convention Centre Jijini Washington DC nchini Marekani tarehe 15 Desemba 2022
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza katika mkutano wa Viongozi wa Afrika na Marekani (U.S Afirica Leaders Summit) wakati wakijadili masuala ya Kilimo, Usalama wa Chakula na Uzalishaji wa Chakula, uliofanyika katika ukumbi wa Convention Centre Jijini Washington DC nchini Marekani tarehe 15 Desemba 2022
MANISPAA YA SINGIDA KUKUSANYA BILIONI 33.6 MWAKA WA FEDHA WA 2023/2024
-
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Singida , Yagi Kiaratu akiongoza kikao cha
Baraza la Madiwani kilichoketi leo Februari 1, 2023 kwa ajili ya mapitio
ya u...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment