Wanafunzi wanaosoma fani ya Uhandisi wa Matengenezo ya Ndege (Aircraft Maintenance Engineering) kutoka Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Karume Zanzibar (KIST) wakiwa na walimu wao katika ziara ya kimasomo iliyofanyika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar.
Picha na Maryam Kidiko - Kist.
Wanafunzi wanaosoma fani ya Uhandisi wa Matengenezo ya Ndege (Aircraft Maintenance Engineering) kutoka Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Karume Zanzibar (KIST) wakiwa na walimu wao katika ziara ya kimasomo iliyofanyika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar.
Picha na Maryam Kidiko - Kist.
No comments:
Post a Comment