Habari za Punde

Waziri Mkuu Mhe. Majaliwa Azindua Jengo la Dharura katika Hospitali ya Wilaya ya Ruangwa

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akizindua jengo la dharura kwenye hospitali ya wilaya ya Ruangwa, Machi 31, 2023. Kulia ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Lindi Hassan Jarufu (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikata utepe kuzindua jengo la dharura kwenye hospitali ya wilaya ya Ruangwa,
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikata utepe kuzindua jengo la dharura kwenye hospitali ya wilaya ya Ruangwa,
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa  Dkt. Mohamed Amri kuhusu mashine ya kuamshia mapigo ya moyo 'defibrillaor' baada ya kuzindua  Jengo la  Wagonjwa wa Dharura la Hospitali ya wilaya ya Ruangwa 
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa  Afisa Muuguzi Shifra Buroko kuhusu mashine ya usaidizi ya kupumulia baada ya kuzindua Jengo la  Wagonjwa wa Dharura la Hospitali ya wilaya ya Ruangwa

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.