Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango leo tarehe 25 Mei 2023 akiondoka katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Sharm El Sheikh nchini Misri kurejea nchini Tanzania. Makamu wa Rais alimwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa Mwaka wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) uliofanyika katika mji wa Sharm El Sheikh.
TAKUKURU MKOA WA DODOMA YAFUATILIA MIRADI YA BILIONI 50 NA KUFANIKIWA
KUOKOA ZAIDI YA MILIONI 13
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma
Mkuu wa TAKUKURU Mkoa of wa Dodoma Christopher Myava amesema katika
utendaji kazi wa Takukuru mkoani humo katika kipin...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment