Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango leo tarehe 25 Mei 2023 akiondoka katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Sharm El Sheikh nchini Misri kurejea nchini Tanzania. Makamu wa Rais alimwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa Mwaka wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) uliofanyika katika mji wa Sharm El Sheikh.
SLOTI YA BOOK OF ESKIMO USHINDI KUGUSA TU
-
KUPANGA ni kuchagua, chagua kuwa mshindi kila siku kupitia kasino ya
mtandaoni ya Meridianbet, kila siku kuna bonasi kibasi na michezo sana
usipange kukos...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment