Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana (wa tatu kulia) Mei 14, 2023 mjini Mafinga katika Wilaya ya Mufindi akiwa katika ziara ya kikazi, amekutana na Mashabiki wa Klabu ya Yanga wanaoelekea Nchini Afrika Kusini kuishangilia timu hiyo katika mchezo wa marudiano wa Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika dhidi ya timu ya Marumo Gallants Mei 17, 2023.
TABIO, TOAM WANAVYOUNGANA NA AFSA KATIKA MAPENDEKEZO YA KULINDA NA KUZIENDELEZA MBEGU ZA WAKULIMA
-
Na Mwandishi Wetu
KUMEKUWEPO na majadiliano yanayoendelea katika nchi za Afrika ikiwemo
Tanzania na sehemu kubwa ya majadiliano hayo yanahusu namna nzur...
26 minutes ago
No comments:
Post a Comment