Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana (wa tatu kulia) Mei 14, 2023 mjini Mafinga katika Wilaya ya Mufindi akiwa katika ziara ya kikazi, amekutana na Mashabiki wa Klabu ya Yanga wanaoelekea Nchini Afrika Kusini kuishangilia timu hiyo katika mchezo wa marudiano wa Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika dhidi ya timu ya Marumo Gallants Mei 17, 2023.
MWENGE WA UHURU WAZINDUA KITUO CHA POLISI NYAKITONTO KWA AJILI YA KUONGEZA
USALAMA
-
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Ismail Alli Issu, amesema
uwepo wa miradi mingi yenye thamani kubwa katika Halmashauri ya Wilaya ya
Kasulu ni...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment