Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana (wa tatu kulia) Mei 14, 2023 mjini Mafinga katika Wilaya ya Mufindi akiwa katika ziara ya kikazi, amekutana na Mashabiki wa Klabu ya Yanga wanaoelekea Nchini Afrika Kusini kuishangilia timu hiyo katika mchezo wa marudiano wa Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika dhidi ya timu ya Marumo Gallants Mei 17, 2023.
MAHAFALI YA 48 YA BODI YA NBAA YAFANA
-
Wahitimu wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA) wakiwa
kwenye maadamano ya kitaaluma wakati wa mahafali ya 48 ya Bodi hiyo
yaliyofanyik...
9 hours ago

0 Comments