Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Camillus Wambura (kushoto) na Mkuu wa Chuo cha Taifa cha Utalii Dkt. Florian Mtey, wakisaini Hati ya Makubaliano na Mashirikiano baina ya Jeshi la Polisi na Chuo cha Taifa cha Utalii, kwenye hafla hiyo IGP Wambura amesema Jeshi la Polisi ni mdau muhimu wa Sekta ya utalii hapa nchini ikiwemo kulinda usalama wa raia na mali zao pamoja na usalama wa Watalii wote wanaotembelea vuvutio vyetu, hafla hiyo ya utiaji Saini imefanyika 22/09/2023 jijini Arusha.
REA YASAMBAZA MITUNGI NA MAJIKO YA GESI KWA WATUMISHI WA GEREZA LA UKONGA
DAR ES SALAAM
-
-REA kuendela kuwajengea uwezo Magereza uendelezaji Miradi ya Nishati Safi
-Mhe. Balozi Radhia Msuya amewahamasisha Maafisa na Watumishi wa Magereza
kuwa M...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment