Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Camillus Wambura (kushoto) na Mkuu wa Chuo cha Taifa cha Utalii Dkt. Florian Mtey, wakisaini Hati ya Makubaliano na Mashirikiano baina ya Jeshi la Polisi na Chuo cha Taifa cha Utalii, kwenye hafla hiyo IGP Wambura amesema Jeshi la Polisi ni mdau muhimu wa Sekta ya utalii hapa nchini ikiwemo kulinda usalama wa raia na mali zao pamoja na usalama wa Watalii wote wanaotembelea vuvutio vyetu, hafla hiyo ya utiaji Saini imefanyika 22/09/2023 jijini Arusha.
SERIKALI YAFAFANUA HATUA ZA KUDHIBITI MIKOPO YENYE RIBA KUBWA
-
Na. Chedaiwe Msuya na Jordan Mbwambo WF, Dodoma.
Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Mhandisi Mshamu Ali Munde (Mb), amesema
Serikali inaendelea kuchukua hatua mba...
16 minutes ago


0 Comments