Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Camillus Wambura (kushoto) na Mkuu wa Chuo cha Taifa cha Utalii Dkt. Florian Mtey, wakisaini Hati ya Makubaliano na Mashirikiano baina ya Jeshi la Polisi na Chuo cha Taifa cha Utalii, kwenye hafla hiyo IGP Wambura amesema Jeshi la Polisi ni mdau muhimu wa Sekta ya utalii hapa nchini ikiwemo kulinda usalama wa raia na mali zao pamoja na usalama wa Watalii wote wanaotembelea vuvutio vyetu, hafla hiyo ya utiaji Saini imefanyika 22/09/2023 jijini Arusha.
TMC Yaongoza Ujumbe Maalum wa Tanzania Marekani kuhusu Mageuzi ya Utawala
wa Kidijitali Washington, D.C. / Dar es Salaam
-
TANZANIA imeanza hatua mpya katika safari yake ya mageuzi ya kidijitali
baada ya ujumbe wa pamoja kati ya Serikali na Asasi za Kiraia kuanza ziara
ya kita...
16 minutes ago


0 Comments