Wachezaji wa Timu ya Jamhuri kutoka Kisiwani Pemba wakiwa katika mazoezi baada ya kuwasili Unguja kwa ajili ya Mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar "PBZ Premier League" na Timu ya Kundemba unaofanyika leo jioni katika Uwanja wa Mao Zedung Wilaya ya Mjini Unguja.
Kikosi cha Timu ya Jamhuri Kikiwa Katika Mazoezi Kujianda na Mchezo Wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar "PBZ Premier League" na Timu ya Kundemba Leo
byzanzinews.com
-
0






