Wachezaji wa Timu ya Jamhuri kutoka Kisiwani Pemba wakiwa katika mazoezi baada ya kuwasili Unguja kwa ajili ya Mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar "PBZ Premier League" na Timu ya Kundemba unaofanyika leo jioni katika Uwanja wa Mao Zedung Wilaya ya Mjini Unguja.
NJIRO; WANANCHI SIO LAZIMA KUFANYA WIRING NYUMBA NZIMA MNAWEZA KUFANYA
CHUMBA KIMOJA KWAAJILI YAKUPOKELEA UMEME
-
NA BELINDA JOSEPH, SONGEA
Wakazi wa Kata ya Subira Manispaa ya Songea Mkoani Ruvuma, wametakiwa
kuunganisha nyaya za umeme angalau chumba kimoja kwenye...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment