Wachezaji wa Timu ya Jamhuri kutoka Kisiwani Pemba wakiwa katika mazoezi baada ya kuwasili Unguja kwa ajili ya Mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar "PBZ Premier League" na Timu ya Kundemba unaofanyika leo jioni katika Uwanja wa Mao Zedung Wilaya ya Mjini Unguja.
Taasisi ya THE SAME QUALITY FOUNDATION wameendesha kambi ya matibabu ya
midomo wazi
-
Wizara ya afya Zanzibar kwa kushirikian na Taasisi ya THE SAME QUALITY
FOUNDATION wameendesha kambi ya matibabu ya midomo wazi katika hospitali
ya mk...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment