Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Waziri wa Mambo
ya Nje ya India Mhe. Dkt. Subrahmanyam Jaishankar aliyeambatana na ujumbe wake mara
baada ya kuwasili New Delhi kwa ajili ya ziara ya Kitaifa.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.
Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje ya
India Mhe. Dkt. Subrahmanyam Jaishankar mara baada ya mazungumzo New
Delhi nchini humo tarehe 08 Oktoba, 2023. Wengine pichani ni Waziri wa Mambo ya
Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. January Makamba, Waziri wa Fedha
Dkt. Mwigulu Nchemba pamoja na Balozi wa Tanzania nchini India Mhe. Anisa Mbega
wa kwanza kulia.
No comments:
Post a Comment