Viongozi kutoka Wizara ya Elimu Zanzibar wakiongozwa na Naibu Waziri Elimu Mhe. Ali Abdulghulam Hussein na watendaji wa Shirika la Good Neighbors Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja na wenyeji wao kutoka makao makuu ya Shirika la KOICA na Good Neighbors katika ukumbi wa Korea Development History Hall katika mji wa Pangyo, Seoul yaliyopo makao makuu ya KOICA Jamhuri ya Korea mara baada ya hafla ya ufunguzi wa mafunzo kwa viongozi hao kuhusu mfumo na mageuzi ya Elimu yaliyoratibiwa na shirika la KOICA.
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment