Viongozi kutoka Wizara ya Elimu Zanzibar wakiongozwa na Naibu Waziri Elimu Mhe. Ali Abdulghulam Hussein na watendaji wa Shirika la Good Neighbors Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja na wenyeji wao kutoka makao makuu ya Shirika la KOICA na Good Neighbors katika ukumbi wa Korea Development History Hall katika mji wa Pangyo, Seoul yaliyopo makao makuu ya KOICA Jamhuri ya Korea mara baada ya hafla ya ufunguzi wa mafunzo kwa viongozi hao kuhusu mfumo na mageuzi ya Elimu yaliyoratibiwa na shirika la KOICA.
MUFTI MKUU TANZANIA KUJA NA ZIARA YA KUIMARISHA UONGOZI MKOA WA DODOMA
-
Mufti Mkuu Sheikh Abubakar Zubeir amesema Baraza limepanga kufanya ziara
rasmi mkoani Dodoma, ikiwa ni sehemu ya mpango wa kutembelea mikoa yote 26
nc...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment