Habari za Punde

Jamhuri ya Muungano Tanzania kushiriki Rasmi Maonesho ya Sanaa nchini Italia mnamo Mwezi wa Aprili.

Jamhuri ya Muungano Tanzania kushiriki Rasmi Maonesho ya Sanaa ya Uchoraji, Uchongaji, Ubunifu na Ujenzi Ramani na Upambaji (Architecture and Interior Designing) ya Biennale mjini Venice nchini Italia kuanzia tarehe 16 Aprili hadi 20 Aprili 2024 chini ya Usimamizi wa Ubalozi wa Tanzania nchini Italia na Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo. 

Kwa maelezo zaidi fuatilia hapa:

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.