Habari za Punde

Maonesho ya Kazi Zinazofanywa na Taasisi za Serikali na Binafsi Viwanja vya Mapinduzi Square Michezani Shamrashamra za Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar

Baadhi ya wananchi wakifuatilia maonesho ya kazi zinazofanywa na taasisi mbalimbali za Serikali na binafsi kupitia magari yaliyoandaliwa na Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais kazi Uchumi na uwekezaji ikiwa ni shamrashamra kuelekea maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar.

Makamu wa pili wa Rais mstaafu Balozi Seif Ali Iddi  akipokea maonesho ya kazi zinazofanywa na taasisi mbalimbali za Serikali na binafsi kupitia magari yaliyoandaliwa na Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais kazi Uchumi na uwekezaji ikiwa ni shamrashamra kuelekea maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar.





 

Waziri wa Nchi ofisi ya raisi kazi uchumi na uwekezaji akizungumza na waandishi wa habari wakati wa maonesho ya kazi zinazofanywa na taasisi mbalimbali za Serikali na binafsi kupitia magari zilizoandaliwa na taasisi hiyo ikiwa ni shamrashamra za kutimiza miaka 60 ya Mapinduzi.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.