Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na Watoto mbalimbali baada ya kuwasalimia katika mtaa wa mwembemakumbi Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 26-1-2024, baada ya kumalizika kwa Ibada ya Sala ya Ijumaa iliyofanyika katika Masjid Twauba Mwembemakumbi.
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment