Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na Watoto mbalimbali baada ya kuwasalimia katika mtaa wa mwembemakumbi Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 26-1-2024, baada ya kumalizika kwa Ibada ya Sala ya Ijumaa iliyofanyika katika Masjid Twauba Mwembemakumbi.
Mwanamuziki wa Injili Rehema Simfukwe atoboa siri kuimba wimbo wa Chanzo
-
Na Mwandishi Wetu
MWANAMUZIKI maarufu katika Muziki wa Injili nchini Rehema Simfukwe amevunja
ukimya kwa mara ya kwanza kwa kuamua kutoa sababu za kut...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment