Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na Watoto mbalimbali baada ya kuwasalimia katika mtaa wa mwembemakumbi Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 26-1-2024, baada ya kumalizika kwa Ibada ya Sala ya Ijumaa iliyofanyika katika Masjid Twauba Mwembemakumbi.
Maisha : Rais Dkt. Samia Ashiriki Ufunguzi wa Hema la Ibada ya Kanisa la
Arise and Shine Kawe Jijini Dar es Salaam
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu
Hassan akisogeza kitambaa kama ishara ya kuweka jiwe la msingi na kukata
utepe Ufu...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment