Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na Watoto mbalimbali baada ya kuwasalimia katika mtaa wa mwembemakumbi Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 26-1-2024, baada ya kumalizika kwa Ibada ya Sala ya Ijumaa iliyofanyika katika Masjid Twauba Mwembemakumbi.
ABSA YACHANGIA MAGEUZI YA UONGOZI WA FEDHA AFRIKA MASHARIKI
-
Dar es Salaam, Mei , 2025 — Benki ya Absa Tanzania imethibitisha kwa mara
nyingine nafasi yake kama mshirika mkuu katika maendeleo ya uongozi wa
kifedha...
7 minutes ago
No comments:
Post a Comment