Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Mwinyi Ameweka Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Hoteli ya Nyota Tano ya Crown Hotel And Resort Zanzibar

MUONEKANO wa Jengo la Hoteli ya nyota  tano ya Crown Hotel and Resort Zanzibar, inayojengwa katika eneo la Mazizini Wilaya ya Magharibi “B” Unguja iliyowekewa jiwe la msingi la ujenzi huo na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, leo 7-1-2024 ikiwa ni shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mstaafu Mhe. Balozi Seif Ali Iddi alipowasili katika viwanja vya Mradi wa ujenzi wa Hoteli ya Nyota Tano ya Crown Hotel and Resort Zanzibar, kwa ajili ya uwekaji wa Jiwe la Msingi la ujenzi huo leo 7-1-2024, ikiwa ni shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Mwekezaji wa Mradi wa Hoteli ya Nyota Tano ya  Crown Hotel and Resort Zanzibar.Bw.Gavin Faull, alipowasili katika viwanja vya hoteli hiyo Mazizini Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar leo 7-1-2024, kwa ajili ya Uwekaji wa Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Hoteli hiyo ikiwa ni shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Mwekezaji wa Mradi wa Hoteli ya Nyota Tano ya Crown Hotel and Resort Zanzibar ,Bw.Laurent Voivenel (hayupo pichani) akitowa maelezo ya michoro ya ujenzi wa hoteli hiyo, wakati wa uwekaji wa Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Hoteli hiyo uliyofanyika leo 7-1-2024, na (kulia kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe.Idrisa Kitwana Mustafa na (kushoto kwa Rais) Muwekezaji wa Hoteli hiyo Bw. Nadhim Al Rawahi, Mkurugenzi Mtengaji wa ZIPA Ndg. Shariff Ali Shariff na Mwekezaji wa Hoteli hiyo Bw. Gavin Faull
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Mwekezaji wa Mradi wa Hoteli ya Nyota Tano ya Crown Hotel and Resort Zanzibar ,Bw.Laurent Voivenel akitowa maelezo ya michoro ya ujenzi wa hoteli hiyo, wakati wa uwekaji wa Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Hoteli hiyo uliyofanyika leo 7-1-2024, na (kushoto kwa Rais) Muwekezaji wa Hoteli hiyo Bw. Nadhim Al Rawahi, Mkurugenzi Mtengaji wa ZIPA Ndg. Shariff Ali Shariff na Mwekezaji wa Hoteli hiyo Bw. Gavin Faull
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiondoa pazia kuashiria kuweka Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Mradi wa Hoteli ya Nyota Tano ya Crown Hotel and Resort Zanzibar, (kushoto ) Muwekezaji wa Mradi huo Bw.Nadhim Al Rawahi,hafla hiyo ya uwekaji wa jiwe la msingi la ujenzi huo uliofanyika leo 7-1-2024 ikiwa ni shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika hafla ya Uwekaji wa Jiwe la Msingi la Mradi wa Ujenzi wa Hoteli ya Nyota Tano ya Crown Hotel and Resort Zanzibar, ikiwa ni shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, iliyofanyika leo 7-1-2024.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika hafla ya Uwekaji wa Jiwe la Msingi la Mradi wa Ujenzi wa Hoteli ya Nyota Tano ya Crown Hotel and Resort Zanzibar, ikiwa ni shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Kazi Uchumi na Uwekezaji Zanzibar Mhe. Mudrik Ramadhan Soranga na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mstaafu Mhe.Balozi Seif Ali Iddi
WAGENI waalikwa katika hafla ya Uwekaji wa Jiwe la Msingi la Mradi wa ujenzi wa Hoteli ya Nyota Tano ya Crown Hotel and Resort Zanzibar, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akihutubia katika hafla hiyo iliyofanyika leo 7-1-2024, ikiwa ni Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
WAKAFANYAKAZI wa Kampuni ya ujenzi ya Estim inayojenga hoteli ya Crown Hotel and Resort Zanzibar, wakifuatilia hutuba ya uwekaji wa Jiwe la Msingi la Mradi huo, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia katika hafla hiyo iliyofanyika leo 7-1-2024, ikiwa ni shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
VIONGOZI wa Serikali na wa Vyama vya Siasa wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi. (hayupo pichani) akihutubia katika hafla ya uwekaji wa Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Mradi wa Hoteli ya Nyota Tano ya Crown Hotel and Resort Zanzibar, uliofanyika leo 7-1-2024.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.