RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Balozi wa Uingereza Nchini
Tanzania Mhe.David Concar (kulia kwa
Rais ) akiwa na Ujumbe wa Kampuni ya Nutri –San Limited ya Uingereza inayojenga
Kiwanda cha Mwani Chamanangwe Pemba, ukiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa
Kampuni ya Nutri – San Ltd. San Chau (kulia kwake) mazungumzo hayo
yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar na (kushoto kwa Rais)
Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar Mhe. Omar Said Shaban
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Balozi wa Uingereza Nchini
Tanzania Mhe.David Concar (kulia kwa
Rais ) akiwa na Ujumbe wa Kampuni ya Nutri –San Limited ya Uingereza inayojenga
Kiwanda cha Mwani Chamanangwe Pemba, ukiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa
Kampuni ya Nutri – San Ltd. San Chau (kulia kwake) mazungumzo hayo
yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar na (kushoto kwa Rais)
Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar Mhe. Omar Said Shaban
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni
ya Nutri-San ya Uingereza inayojenga Kiwanda cha Mwani Chamanangwe Pemba na
(kulia kwa Rais) Balozi wa Uingereza Nchini Tanzania Mhe. David Concar na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Biashara na
Maendeeo ya Viwanda Zanzibar Mhe. Omar Said Shaban, mazungumzo hayo
yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
No comments:
Post a Comment