Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Mwinyi Amezindua Taasisi ya Wasanifu,Wahandisi na Wakadiriaji Ukumbi wa Verde Mtoni Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi mbalimbali wa Serikali na Taasisi, alipowasili katika viwanja vya Hoteli ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar, Wilaya ya Mjini Unguja kwa ajili ya Uzinduzi wa Taasisi ya Wasanifu,Wahandisi na Wakadiriaji, uliofanyika leo 20-4-2024 katika ukumbi wa Hoteli hiyo
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Afisa Masoko wa Shirika la Nyumba Zanzibar (ZHC)Ndg.Nurdin Hussein Mohamed,wakati akitembelea maonesho katika ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar, wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Taasisi ya Wasanifu,Wahandisi na Wakadiriaji, uliyofanyika leo 20-4-2024, katika ukumbi wa hoteli hiyo na (kushoto kwa Rais) Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi,Mawasiliano na Uchukuzi Zanzibar Dkt. Mngereza Mzee Miraji na (kulia kwa Rais) Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja, Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja.Mhe.Ayoub Mohammed Mahmoud
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Mwakilishi wa Kampuni ya PADDCO Ndg. Afla Abdalla Mrusi,wakati akitembelea maonesho ya Wahandisi katika ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar, kabla ya Uzinduzi wa Taasisi ya Wasanifu,Wahandisi na Wakadiriaji, uliyofanyika leo 20-4-2024, katika ukumbi wa hoteli hiyo na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Ujenzi,Mawasiliano na Uchukuzi Zanzibar Mhe.Dkt.Khalid Mohamed Salum na (kulia kwa Rais) Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja, Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja.Mhe.Ayoub Mohammed Mahmoud
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Mwakilishi wa Kampuni ya Al Hatmy Desigh&Engineering Consultancy Zanzibar Ndg.Abdulhamid Mohammed Ali Mhoma akitowa maelezo ya michoro ya majengo inayojenga kampuni hiyo Zanzibar,wakati akitembelea maonesho ya Wahandisi katika ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar, kabla ya Uzinduzi wa Taasisi ya Wasanifu,Wahandisi na Wakadiriaji, uliyofanyika leo 20-4-2024, katika ukumbi wa hoteli hiyo na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Ujenzi,Mawasiliano na Uchukuzi Zanzibar Mhe.Dkt.Khalid Mohamed Salum na (kulia kwa Rais) Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja, Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja. Mhe.Ayoub Mohammed Mahmoud
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza akimsikiliza Mwanafunzi wa Chuo cha Karume Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Karume Zanzibar, akitowa maelezo ya ufundi wa utengenezaji wa mashine za ndege,wakati akitembelea maonesho ya Wahandisi katika ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar, kabla ya Kuzindua Taasisi ya Wasanifu,Wahandisi na Wakadiriaji, uliyofanyika leo 20-4-2024, katika ukumbi wa hoteli hiyo na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Ujenzi,Mawasiliano na Uchukuzi Zanzibar Mhe.Dkt.Khalid Mohamed Salum na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi,Mawasiliano na Uchukuzi Zanzibar Dkt.Mngereza Mzee Miraji
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza akimsikiliza Mwakilishi wa Rak Mhandisi Mbarouk Masoud Mbarouk , akitowa maelezo ya vifaa vya ujenzi,kabla ya Kuzindua Taasisi ya Wasanifu,Wahandisi na Wakadiriaji,uliyofanyika leo 20-4-2024, katika ukumbi wa hoteli ya Verde Mtoni Zanzibar na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Ujenzi,Mawasiliano na Uchukuzi Zanzibar Mhe.Dkt.Khalid Mohamed Salum na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi,Mawasiliano na Uchukuzi Zanzibar Dkt.Mngereza Mzee Miraji na (kulia kwa Rais) Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe.Ayoub Mohammed Mahmoud


RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika hafla ya Uzinduzi wa Taasisi ya Wasanifu,Wahandisi na Wakadiriaji, uzinduzi huo uliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 20-4-2024
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika hafla ya Uzinduzi wa Taasisi ya Wasanifu,Wahandisi na Wakadiriaji, uzinduzi huo uliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 20-4-2024
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika hafla ya Uzinduzi wa Taasisi ya Wasanifu,Wahandisi na Wakadiriaji, uzinduzi huo uliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 20-4-2024
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa Cheti Maalum na Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi Zanzibar Mhe.Dkt.Khalid Salum Mohamed (kulia kwa Rais) baada ya Kuzindua Taasisi ya Wasanifu,Wahandisi na Wakadiriaji, uzinduzi huo uliyofanyika leo 20-4-2024, katika ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar Wilaya ya Mjini Unguja na (kushoto kwa Rais) Rais wa Taasisi ya Wasanifu,Wahandisi na Wakadiriaji Mhandisi.Abdulsamad M.Mattar
BAADHI ya Wahandisi,Wasanifu na Wakadiriaji wakifuatilia hafla ya Uzinduzi wa Taasisi ya Wasanifu,Wahandisi na Wakadiriaji, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia na kuizindua Taasisi hiyo katika ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 20-4-2024
BAADHI ya Wahandisi,Wasanifu na Wakadiriaji wakifuatilia hafla ya Uzinduzi wa Taasisi ya Wasanifu,Wahandisi na Wakadiriaji, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia na kuizindua Taasisi hiyo katika ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 20-4-2024

BAADHI ya Wahandisi,Wasanifu na Wakadiriaji wakifuatilia hafla ya Uzinduzi wa Taasisi ya Wasanifu,Wahandisi na Wakadiriaji, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia na kuizindua Taasisi hiyo katika ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 20-4-2024
BAADHI ya Wahandisi,Wasanifu na Wakadiriaji wakifuatilia hafla ya Uzinduzi wa Taasisi ya Wasanifu,Wahandisi na Wakadiriaji, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia na kuizindua Taasisi hiyo katika ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 20-4-2024
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akishuhudia utiaji wa Saini ya Makubaliano Kati ya Bodi ya Usajili Wasanifu,Wahandisi na Wakadiriaji Majengo Zanzibar na Taasisi ya Wasanifu, Wahandisi na Wakadiriaji, wakisaini kwa niaba ya Taasisi zao (kulia) Mrajisi wa Bodi ya Usajili Wasanifu,Wahandisi na Wakadiriaji Majengo Zanzibar. Mhandisi Mansour Rashid na (kushoto) Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Wasanifu,Wahandisi na Wakadiriaji Mhandisi Mohammed Ahmed Jae, wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Taasisi hiyo uliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar Wilaya ya Mjini Unguja leo 20-4-2024.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiagana na Waziri wa Ujenzi,Mawasiliano na Uchukuzi Zanzibar Mhe.Dkt.Khalid Salum Mohamed, baada ya kumalizika kwa hafla ya Uzinduzi wa Taasisi ya Wasanifu,Wahandisi na Wakadiriaji, uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar,Wilaya ya Mjni Unguja leo 20-4-2024
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.