Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Mwinyi Ameifungua Skuli ya Sekondari ya Hassan Khamis Hafidh Mtopope Wilaya ya Magharibi A Unguja Ikiwa ni Shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Muungano wa Tanzania


RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akifungua pazia kuweka Jiwe la Msingi la Ufunguzi wa Jengo jipya  la Skuli ya Sekondari ya Hassan Khamis Hafidh, iliyofunguliwa leo na kupewa jina hilo baada ya ufunguzi huo uliofanyika leo 22-4-2024, ikiwa ni Shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akifungua pazia kuweka Jiwe la Msingi la Ufunguzi wa Jengo jipya  la Skuli ya Sekondari ya Hassan Khamis Hafidh, iliyofunguliwa leo na kupewa jina hilo baada ya ufunguzi huo uliofanyika leo 22-4-2024, ikiwa ni Shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.






















 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.