MUONEKANO wa Bohari ya Kwanza Zanzibar ya Kupokea
na Kuhifadhi Gesi Mangapwani Mkoa wa Kaskazini Unguja iliyofunguliwa leo 27-6-2024
na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwasili katika viwanja vya Bohari Kuu ya
Kupokea Gesi Mangapwani ya Kampuni ya Oryx Gas Mkoa wa Kaskazini Unguja kwa
ajili ya uzinduzi wa Bohari hiyo uliofanyika leo 27-6-2024, na (kushoto kwa
Rais) Mkurugenzi Mkuu wa VIGOR Mhe. Toufiq Salim Turky na (kulia kwa Rais) Mkuu
wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe.Rashid Hadid Rashid
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiondoa pazia na Mkurugenzi Mkuu wa
Kampuni ya Vigor Mhe. Toufiq Salim Turky (kushoto) kuzindua Bohari ya kwanza ya
Kupokea na Kuhifadhi Gesi ya Kampuni ya Oryx Gas Zanzibar, uzinduzi huo
uliyofanyika leo 27-6-2024, katika eneo la Bohari hiyo Mangapwani Mkoa wa
Kaskazini Unguja.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikata utepe kuzindua Bohari ya Kwanza ya
Kupokea na Kuhifadhia Gesi ya Kampuni ya Oryx Gas Zanzibar Mangapwani Mkoa wa
Kaskazini Unguja leo 27-6-2024 na (kushoto kwa Rais) Mkurugenzi Mkuu wa Vigor Mhe.Toufiq
Salim Turky na Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Oryx Gas Benoit Araman na Katibu
wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said na
(kulia kwa Rais) Waziri wa Maji, Nishati na Madini Zanzibar Mhe. Shaib
H.Kaduara na Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe.Rashid Hadid Rashid na Katibu
wa Siasa Itikadi na Uenezi CCM Zanzibar Ndg. Khamis Mbeto.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akitembelea eneo la Bohari Kuu la Kupokea
na Kuhifadhi Gesi Mangapwani la Kampuni ya Oryx Gas Zanzibar,baada ya
kulizindua leo 27-6-2024,akimsikiliza Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Oryx Gas. Bw.Benoit
Araman
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Project Meneja wa Kampuni ya
Oryx Gas Zanzibar Mhandisi Joseph Soko akitowa maelezo ya picha za eneo la
Bohari Kuu a Kupokea na Kuhifadhi Gesi Mangapwani Mkoa wa Kaskazini Unguja,
wakati wa uzinduzi huo uliyofanyika leo 27-6-2024 Mangapwani Mkoa wa Kaskazini
Unguja
WAGENI waalikwa wakifuatilia hutuba ya Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo
pichani) akihutubia na kulizindua Bohari Kuu la Kwanza la Kupokea na Kuhifadhi
Gesi la Kampuni ya Oryx Gas Zanzibar Mangapwani Mkoa wa Kaskazini Unguja,
uzinduzi huo uliyofanyika leo 27-6-2024
BAADHI ya Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi
Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia na kulizindua
Bohari Kuu la Kwanza la Kupokea na Kuhifadhi Gesi la Kampuni ya Oryx Gas
Zanzibar Mangapwani Mkoa wa Kaskazini Unguja, uzinduzi huo uliyofanyika leo
27-6-2024
WANANCHI wa Kijiji cha Mangapwani Mkoa wa
Kaskazini Unguja wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kulifungua Bohari la kupokea
na Kuhifadhia Gesi Mangapwani, uzinduzi huo uliyofanyika leo 27-6-2024
No comments:
Post a Comment