RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, akimsikiliza Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya
Mji Mkongwe Zanzibar. Mhandisi.Ali Said Bakari, akitowa maelezo ya mnara ulioko
katika bustani ya Mnazi Mmoja Wilaya Mjini Unguja Jijini Zanzibar. unaoonesha
masafa ya maeneo mbali mbali ya Unguja yanayoazia katika enao hilo, wakati wa
ufunguzi wa bustani hiyo uliyofanyika leo 15-7-2024.
MAREHEMU JENISTA MHAGAMA ALIKUWA KIONGOZI JASIRI,MWAMINIFU NA MLEZI WA
VIONGOZI WA WENGI - RASI DKT SAMIA
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan leo
ameongoza familia, viongozi, wabunge na waombolezaji katika ibada ya kuaga
mwi...
3 hours ago







0 Comments