RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, akimsikiliza Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya
Mji Mkongwe Zanzibar. Mhandisi.Ali Said Bakari, akitowa maelezo ya mnara ulioko
katika bustani ya Mnazi Mmoja Wilaya Mjini Unguja Jijini Zanzibar. unaoonesha
masafa ya maeneo mbali mbali ya Unguja yanayoazia katika enao hilo, wakati wa
ufunguzi wa bustani hiyo uliyofanyika leo 15-7-2024.
MAAFISA MIPANGOMIJI WAFUNDWA KUTEKELEZA MAJUKUMU KWA WELEDI
-
Mkurugenzi wa Maendeleo ya Makazi Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya
Makazi Bw. Deogratias Kalimenze akizungumza na Maafisa Mipangomiji wa
Wizara kut...
58 minutes ago
No comments:
Post a Comment