RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, akimsikiliza Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya
Mji Mkongwe Zanzibar. Mhandisi.Ali Said Bakari, akitowa maelezo ya mnara ulioko
katika bustani ya Mnazi Mmoja Wilaya Mjini Unguja Jijini Zanzibar. unaoonesha
masafa ya maeneo mbali mbali ya Unguja yanayoazia katika enao hilo, wakati wa
ufunguzi wa bustani hiyo uliyofanyika leo 15-7-2024.
DK.SAMIA AANIKA MAENDELEO RUKWA,AAHIDI MAKUBWA MIAKA MITANO IJAYO
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Rukwa
MGOMBEA Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan
amesema Mkoa wa Rukwa umepiga hatua kubwa za ...
39 minutes ago
No comments:
Post a Comment