Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi Ameifungua Bustani ya Mnazi Mmoja Jijini Zanzibar leo 15-7-2024

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, akimsikiliza Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mji Mkongwe Zanzibar. Mhandisi.Ali Said Bakari, akitowa maelezo ya mnara ulioko katika bustani ya Mnazi Mmoja Wilaya Mjini Unguja Jijini Zanzibar. unaoonesha masafa ya maeneo mbali mbali ya Unguja yanayoazia katika enao hilo, wakati wa ufunguzi wa bustani hiyo uliyofanyika leo 15-7-2024.

 





 


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.