RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, akimsikiliza Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya
Mji Mkongwe Zanzibar. Mhandisi.Ali Said Bakari, akitowa maelezo ya mnara ulioko
katika bustani ya Mnazi Mmoja Wilaya Mjini Unguja Jijini Zanzibar. unaoonesha
masafa ya maeneo mbali mbali ya Unguja yanayoazia katika enao hilo, wakati wa
ufunguzi wa bustani hiyo uliyofanyika leo 15-7-2024.
makàbidhiano ya Hati ya Ujenzi wa Viwanja katika eneo la Skuli ya Unguja
Ukuu Wilaya ya Kati.
-
Kamishna Idara ya Michezo Zanzibar Ameir Mohamed Makame amekabidhi Hati ya
Ujenzi wa Viwanja vya Michezo kwa Mkandarasi wa Kampuni ya AE&Q consultant
ltd...
12 minutes ago
No comments:
Post a Comment