Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said, akiongoza kikao kazi cha kupitia sera ya mageuzi ya kimkakati katika sekta ya Utalii, kilichowashirikisha makatibu wakuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na kufanyika hoteli ya Golden Tulip UIwanja wa Ndege. (PICHA NA FAUZIA MUSSA)
Na Rahma Khamis Maelezo 8/12/2024
Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said amesema upitishwaji wa sera mpya ya mageuzi ya Utalii mwaka 2024 itasaidia kuondoa changammoto zilizokuwepo hapo awali.
Ameyasema hayo katika Ukumbi wa Golden Tulip UIwanja wa Ndege wakati akifungua kikao KAZI Cha kupitia sera ya mageuzi ya Kimkakati katika Sekta ya Utalii uliyowashirikisha Makatibu Wakuu Serikali ya Mapinduzi ya zanzibar.
Amesema kuwa ili Sekta ya Utalii ibadilike Wizara lazima ishirikiane na Wadau mbalimbali wa Utalii ili kukuza Sekta hiyo na kuleta mabadiliko
Amesema baada ya kupitisha sera hiyo itapelekwa Baraza la Mapinduzi wa kuangaliwa zaidi kabla ya kuanza kutumika ili iweze kukidhi haja. Utalii wa kielimu kwa kuanzisha vyuo vya kutoa elimu kuhusiana na Utalii ili kuongeza Pato la Taifa
Aidha amefahamisha kuwa Wizara imefanya KAZI kubwa ya kuichambua sera iliyopo awali na kuangalia mapungufu na changammoto zilizomo ili kurekebisha changammoto hizo.
Mapema Katibu Mkuu Wizara ya Utalii na Mambo ya Kale Abuod Suleiman Jumbe amesema kuwa maono ya Dkt Hussein Mwinyi katika kuhakikisha sekta ya Utalii inakua juhudi mbalimbali zimefanyika ikiwemo kushirikiana na Wadau mbalimbali wa Utalii lengo ni kuleta mageuzi katika sekta hiyo pamoja na urithi wa mambo ya Kale
Amesema kuwa ndani ya miaka minne kumekua na mabadiliko ya haraka katika Utalii na urithi wa mambo ya Kale .
Ameeleza kuwa wabaini kuwa sera hiyo imeshapitwa na wakati na kupitishwa sera mpya ambayo inatoa vipaumbele kwa wananchi.
"Sera hii inakwenda sambamba zaidi vivutio vya Utalii na Utalii w Michezo wa mpira wamiguu kwa kuzingatia maslahi ya wananchi wote, alisema Katibu.
Aidha amefahamisha kuwa sera hiyo ni sera ambayo imeweka waziri na kuzingatia vipaumbele kwani ifikapo 2025 kuingiza watalii l mlioni moja kwa mwaka
Aidha amefahamisha kutokana na mageuzi hayo ya kimkakati imepelekea kuifungua Pemba kitalii na kujitokeza kwa wadau mbalimbali kuunga mkono juhudi za hizo.
Nao Wadau wa Utalii wamesema sera hiyo itahakikisha inazingatia mazingira ya wazanzinar ili kua endelevu .
Kwa upande wake Mkurugenzi wa Wizara hiyo Abdalla Muhammed Juma ameeleza kuwa sera hiyo ya mwaka 2017 imepitwa hivyo ipo haja ya kubadilisha kwani Kuna mambo muhimumu yamenitokeza ikiwemo ushirikishwaji wa wananchi katika Utalii pamoja na bidhaa za kitalii
Aidha amesema ushirikishwaji wa Sekta nyengine za binafsi utasaidia kuwapa uwelewa zaidi Kufahamu dhana ya Utalii kwani unaenda sambamba na mipango na mikakati ya kulinda Utamaduni wa Mzanzibar .
Nao Washiriki wa kikao hicho wamesema kuwa sera hiyo ni vyema itoe kipaombele kwa wananchi kwani il Utalii uzidi Kukuwa kwa kuzingatia mazingira
Kikao hicho kimeandaliwa na Wizara ya Utalii na Mambo ya Kale kwa kushirikiana na Tony Blair Insitute for Global chang.
Ameyasema hayo katika Ukumbi wa Golden Tulip UIwanja wa Ndege wakati akifungua kikao KAZI Cha kupitia sera ya mageuzi ya Kimkakati katika Sekta ya Utalii uliyowashirikisha Makatibu Wakuu Serikali ya Mapinduzi ya zanzibar.
Amesema kuwa ili Sekta ya Utalii ibadilike Wizara lazima ishirikiane na Wadau mbalimbali wa Utalii ili kukuza Sekta hiyo na kuleta mabadiliko
Amesema baada ya kupitisha sera hiyo itapelekwa Baraza la Mapinduzi wa kuangaliwa zaidi kabla ya kuanza kutumika ili iweze kukidhi haja. Utalii wa kielimu kwa kuanzisha vyuo vya kutoa elimu kuhusiana na Utalii ili kuongeza Pato la Taifa
Aidha amefahamisha kuwa Wizara imefanya KAZI kubwa ya kuichambua sera iliyopo awali na kuangalia mapungufu na changammoto zilizomo ili kurekebisha changammoto hizo.
Mapema Katibu Mkuu Wizara ya Utalii na Mambo ya Kale Abuod Suleiman Jumbe amesema kuwa maono ya Dkt Hussein Mwinyi katika kuhakikisha sekta ya Utalii inakua juhudi mbalimbali zimefanyika ikiwemo kushirikiana na Wadau mbalimbali wa Utalii lengo ni kuleta mageuzi katika sekta hiyo pamoja na urithi wa mambo ya Kale
Amesema kuwa ndani ya miaka minne kumekua na mabadiliko ya haraka katika Utalii na urithi wa mambo ya Kale .
Ameeleza kuwa wabaini kuwa sera hiyo imeshapitwa na wakati na kupitishwa sera mpya ambayo inatoa vipaumbele kwa wananchi.
"Sera hii inakwenda sambamba zaidi vivutio vya Utalii na Utalii w Michezo wa mpira wamiguu kwa kuzingatia maslahi ya wananchi wote, alisema Katibu.
Aidha amefahamisha kuwa sera hiyo ni sera ambayo imeweka waziri na kuzingatia vipaumbele kwani ifikapo 2025 kuingiza watalii l mlioni moja kwa mwaka
Aidha amefahamisha kutokana na mageuzi hayo ya kimkakati imepelekea kuifungua Pemba kitalii na kujitokeza kwa wadau mbalimbali kuunga mkono juhudi za hizo.
Nao Wadau wa Utalii wamesema sera hiyo itahakikisha inazingatia mazingira ya wazanzinar ili kua endelevu .
Kwa upande wake Mkurugenzi wa Wizara hiyo Abdalla Muhammed Juma ameeleza kuwa sera hiyo ya mwaka 2017 imepitwa hivyo ipo haja ya kubadilisha kwani Kuna mambo muhimumu yamenitokeza ikiwemo ushirikishwaji wa wananchi katika Utalii pamoja na bidhaa za kitalii
Aidha amesema ushirikishwaji wa Sekta nyengine za binafsi utasaidia kuwapa uwelewa zaidi Kufahamu dhana ya Utalii kwani unaenda sambamba na mipango na mikakati ya kulinda Utamaduni wa Mzanzibar .
Nao Washiriki wa kikao hicho wamesema kuwa sera hiyo ni vyema itoe kipaombele kwa wananchi kwani il Utalii uzidi Kukuwa kwa kuzingatia mazingira
Kikao hicho kimeandaliwa na Wizara ya Utalii na Mambo ya Kale kwa kushirikiana na Tony Blair Insitute for Global chang.
MAELEZO PICHA.
No comments:
Post a Comment