Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikata utepe kuashiria ufunguzi wa
Skuli ya Sekondari Misufini iliyopo Bumbwini Zanzibar, ikiwa ni Shamrashamra za Maadhimisho ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa kuashiria ufunguzi
wa Skuli ya Sekondari Misufini iliyopo Bumbwini Zanzibar, ikiwa ni Shamrashamra za Maadhimisho ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.
Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wanafunzi mara baada ya kufungua Skuli
ya Sekondari Misufini iliyopo Bumbwini Zanzibar tarehe 08 Januari, 2025.
No comments:
Post a Comment