Habari za Punde

Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan azindua Sera ya Elimu na Mafunzo kwa mwaka 2014, toleo la 2023 Mkoani Dodoma

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikagua mabanda ya maonesho kuhusu masuala mbalimbali ya Elimu kabla ya kuzindua Sera ya Elimu na Mafunzo kwa mwaka 2014, toleo la 2023 katika ukumbi wa mikutano wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma tarehe 01 Februari, 2025.




 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na Kijana mnufaika wa mafunzo ya ufundi stadi VETA ambaye ni mlemavu Ndugu Abdi Athumani Kipara  kuhusu kazi yake ya ushonaji wa mabegi mara baada ya kutembelea banda la maonesho la VETA nje ya ukumbi wa mikutano wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma tarehe 01 Februari, 2025.



No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.