Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko akiwa katika picha ya pamoja na Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Rashal Energies,Farhiya Warsame mara baada ya kumaliza mazungumzo jijini Dar es Salaam tarehe 06 Machi, 2025 kando ya Kongamano na Maonesho ya Petroli ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAPCE’25) linalofanyika kwa Siku Tatu jijini Dar es Salaam.
DKT. NCHEMBA ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI UGANDA
-
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akisalimiana na
Balozi wa Tanzania Nchini Uganda, Mhe Meja Jenerali Paul Simuli,
alipotembelea Ofi...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment