Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko akiwa katika picha ya pamoja na Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Rashal Energies,Farhiya Warsame mara baada ya kumaliza mazungumzo jijini Dar es Salaam tarehe 06 Machi, 2025 kando ya Kongamano na Maonesho ya Petroli ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAPCE’25) linalofanyika kwa Siku Tatu jijini Dar es Salaam.
Ushirikiano Utatu Tanzania na China wazindua Kituo cha Mafunzo ya Ustadi wa
Kitaalamu
-
Na Mwandishi Wetu
Chuo Kikuu cha Ardhi, Taasisi ya Ufundi ya Chongqing (CQVIE) kutoka nchini
China, pamoja na Kampuni ya ujenzi ya Kichina nchini ya Group ...
1 hour ago
.jpg)
0 Comments