Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko akiwa katika picha ya pamoja na Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Rashal Energies,Farhiya Warsame mara baada ya kumaliza mazungumzo jijini Dar es Salaam tarehe 06 Machi, 2025 kando ya Kongamano na Maonesho ya Petroli ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAPCE’25) linalofanyika kwa Siku Tatu jijini Dar es Salaam.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Mwinyi
Amefanya Uteuzi wa Wajumbe 8 Kuwa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi amefanya uteuzi wa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar,
walioteuliw...
3 hours ago

.jpg)
No comments:
Post a Comment