Habari za Punde

WAZIRI MKUU AHUTUBIA MKUTANO WA HADHARA USANGI

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwapungia wananchi alipowasili kwenye uwanja wa Shule ya Sekondari  Kiraweni iliyopo Usangi wilayani Mwanga mkoa wa Kilimanjaro kuhutubia mkutano wa hadhara.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwapungia wananchi alipowasili kwenye uwanja wa Shule ya Sekondali  Kiraweni iliyopo Usangi wilayani Mwanga mkoa wa Kilimanjaro kuhutubia mkutano wa hadhara, Machi 25, 2025. Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza katika mkutano wa hadhara aliouhutubia kwenye uwanja wa Shule ya Sekondari  Kiraweni iliyopo Usangi wilayani Mwanga, mkoa wa Kilimanjaro


Wananchi wakimsikiliza Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alipohutubia  mkutano wa hadhara kwenye uwanja wa Shule ya Sekondari  Kiraweni iliyopo Usangi wilayani Mwanga mkoa wa Kilimajaro, Machi 25, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.