RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein
Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi mbalimbali wa Dini ya Kiislamu, alipowasli
katika viwanja vya Masjid Mohammed VI Bakwata Kinondoni Jijini Dar es Salaamu
kwa ajili ya ufunguzi wa Dua Maalumu ya Kuwaombea Mamufti.Masheikh, Watu Waliotangua
na Kuliombea Taifa Amani pamoja na Viongozi Wakuu wa Serikali, dua hiyo
iliyofanyika leo 8-5-2025
TTCL KUJENGA MINARA ZAIDI YA 1,400 KUIMARISHA MAWASILIANO NCHINI
-
Mkurugenzi wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), CPA (T) Moremi Marwa,
amesema katika mwaka wa fedha 2025/2026 Serikali kupitia shirika hilo
imepanga...
26 minutes ago
No comments:
Post a Comment