MVUVI katika Kijiji cha Chwaka akitoka bahari akiwa na samaki akipeleka katika mnada wa samaki katika soko la Chwaka kila mtungo mmoja wa samaki umeuzwa shilingi 35,000/=.
MWANAMKE MMOJA AFARIKI DUNIA AJALI YA ROLI MBEZI KWA MSUGULI
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
Mwanamke mmoja amefariki dunia baada ya gari aina ya roli lenye namba ya
usajili T696 CLY kuacha njia na kumgonga mwanamke ...
2 hours ago
0 Comments