Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akiwakabidhi bendera ya Zanzibar, Watoto wanaowawakilisha Watoto wezao M ayatima wakiwa na Viongozi wao wanaokwenda nchini Uturuki kuiwakilisha Zanzibar katika Kongamano la Kimataifa la Kuadhimisha Siku ya Watoto Yatima litakalofanyika mjini Istambul Uturuki kuanzia tarehe 28/05 hadi 03/06/2012. na kuwajumuisha Watoto wanaotoka Nchi mbalimbali Nduniani kushiri katika Kongamano hilo.(Picha, Salmin Said, OMKR).
RAIS MSTAAFU DKT KIKWETE ATEULIWA KUWA MWAKILISHI MAALUM WA PEMBE YA AFRIKA
NÀ BAHARI NYEKUNDU
-
RAIS Mstaafu Dkt, Jakaya Mrisho Kikwete ameteuliwa kuwa Mwakilishi Maalum
wa Umoja wa Afrika kwa Ukanda wa Pembe ya Afrika na Bahari Nyekundu, jukumu
li...
53 minutes ago
0 Comments