Gari hii aina ya pijoti 504 inauzwa bei masikilizano ukitaka kuiona unaweza kufika Rahaleo nje ya Jengo la ZBC zamani Sauti ya Zanzibar Rahaleo Zanzibar. kwa mawasiliano unaweza kuwasiliana na No 0777424152 - 0715 424152 na 0759 424152.
TAIFA STARS YAFUZU HATUA YA MTOANO AFCON
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
Timu ya Taifa ya Tanzania "Taifa Stars imefanikiwa kufuzu hatua ya mtoano
ya michuano ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON) kw...
11 hours ago
3 Comments
Dah!! hii gari ingekuwa huku uk jamaa angekula fedha ya nguvu!!! wenzetu wazungu wanavipenda vitu vya long time!"!""
ReplyDeleteHiyo sio hata ya zamani matunzo tu hafifu, Z'bar kuna 403 na 404 nyingi ambazo bado zipo kwenye matumizi si kwambii hizo HELMEN, MORRIS na CAMBRIDGE!
ReplyDeleteKizuri cha jiuza kibaya cha jitembza, kidoga ingepigwa sopu sopu ingelionekana waa
ReplyDelete