Mdau wangu mwananchi huyu amekosa sehemu mbadala ya kupaki gari lake na kuamua kupaki katika eneo la bustani katika eneo la michenzani? Kuna baadhi ya Wananchi hutumia sehemu kama hizo kuegesha magari na kuharibu bustani ambazo hutunzwa kwa ajili ya kupendezesha mji na kufanya bustani hizo kutuendelea kwa uharibifu wa makusudi unaofanywa. katika maeneo hayo.
MHE. MILLYA ATEMBELEA KITUO CHA UTOAJI HUDUMA KWA PAMOJA CHA NAMANGA
-
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje anayeshughulikia masuala ya Afrika Mashariki
Mhe. James Kinyasi Millya (Mb.) ametembelea Kituo cha Utoaji Huduma kwa
Pamoja Mp...
2 hours ago
1 Comments
hichi kitu ana haki ata kupark jamhuri garden,kwanza iyo bustani yenyewe hamna apo
ReplyDelete