6/recent/ticker-posts

Zantel yakaribisha maoni kutoka kwa wateja

Kampuni ya Simu za Mkononi ZANTEL, imetoa nafasi kwa Wateja wake kutoa maoni yao kutokana na huduma wanazotoa
 
Toa maoni yao kupitia katika Mtandao. Toa Maoni yako ili Kuboresha Huduma kwa wateja kupitia


     Namba ya Simu 0775044755.
                  Tunapokea maoni Jumatatu hadi Ijumaa
             kuanzia saa 3.00 Asubuhi hadi saa 11-00 jioni

            Kwa Barua Pepe feedback@zantel.co.tz
Description: Description: Description: cid:image001.jpg@01CE1FCB.8A116120

Post a Comment

0 Comments