6/recent/ticker-posts

Dk Shein aongoza Harambee ya kuchangia CCM Mkoa wa Kaskazini Unguja


Rais Mstaafu wa Tanzania Mzee Ali Hssan Mwinyi,(Mzee Ruksa) na Mkewe Mama Siti Mwinyi,walipokuwa wakisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Vuai Ali vuai,katika hafla ya Harambee ya kuchangia CCM Mkoa wa Kaskazini Unguja,katika ukumbi wa Sea Cliff- Kama, Wilaya ya Kaskazini B,Unguja jana usiku

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,na Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar DK.Ali Mohamed Shein,(kulia) akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja,alipowasili katika viwanja vya Sea Cliff-Kama,katika hafla ya Harambee ya kikichangia Chama cha Mapinduzi,Mkoa wa Kaskazini,hafla hiyo ilifanyika jana usiku

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,na Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar DK.Ali Mohamed Shein,(kulia) akisalimiana na wanakamati waliofanya maandalizi mbali ya kufanikisha Harambee ya kikichangia Chama cha Mapinduzi,Mkoa wa Kaskazini,alipowasili katika ukumbi wa mikutano wa Sea Cliff-Kama, jana usiku



Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,na Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar DK.Ali Mohamed Shein,(katikati) akiwa na viongozi wa chama wakati wa Harambee ya uchangiaji Fedha kwa ajili ya utekelezaji wa Miradi ya Chama na ya kijamii katika Mkoa wa Kaskazini Unguja,hafla ilifanyika ukumbi wa Sea Cliff-Kama,jana usiku
 



Baadhi ya wananchi na wanachama na wapenzi wa CCM walioalikwa katika hafla ya Harambee ya kikichangia Chama cha Mapinduzi,Mkoa wa Kaskazini,wakiwa katika ukumbi wa mikutano wa Sea Cliff-Kama, jana usiku


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,na Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar DK.Ali Mohamed Shein,akipokea mchango ulitolewa na Mke wa Rais wa Jamhuri ya Muungano,Mama Salma Kikwete,kwa niaba yake Katibu wa CCM Mkoa wa Kaskazini Unguja Katerin Piternao akikabidhi wakati wa Harambee ya kikichangia Chama cha Mapinduzi,Mkoa wa Kaskazini,katika ukumbi wa mikutano wa Sea Cliff-Kama, jana usiku

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,na Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar DK.Ali Mohamed Shein,na Rais Mstaafu wa Tanzania Mzee Ali Hssan Mwinyi,(Mzee Ruksa) wakigonganisha Glasi za maji kama ishara ya kufungua Harambee ya kikichangia Chama cha Mapinduzi,Mkoa wa Kaskazini,katika ukumbi wa mikutano wa Sea Cliff-Kama, jana usiku~
Picha zote na Ramadhan Othman, Ikulu

Post a Comment

0 Comments