Baadhi ya CD na Mikanda ya Video iliokamatwa na Ofisi ya Hati Miliki Zanzibar kufanya biashara hiyo bila ya kuwa na uhalali wa hati miliki, kuwanyia mapato wasanii kutokana na kukopi kazi zao na kuziuza bila ya ridhaa zao, Zoezi hilo lilifanyika katika maduka mbalimbali ya kurikodia CD, Ofisi ya Hatimiliki imefanya zoezi hilo. Ilikuhakikisha wasanii wanafaidika na kazi zao na sio watu wengine kupitia mgongo wao.Cd hizi zinatarajiwa kutelekezwa kwa kuchomwa moto kesho katika eneo maalum lililotengwa kwakazi hiyo.
Msajili wa Hazina azindua Mpango Mkakati wa NMB 2026–2030
-
Na Mwandishi wa OMH
Dar es Salaam. Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, amezindua Mpango
Mkakati wa Muda wa Kati wa Benki ya NMB wa mwaka 2026 hadi 2...
44 minutes ago
0 Comments