DJ. Zeroakiwapagaisha Wapenzi wa muziki wa Kizazi Kipya katika viwanja vya ukumbi wa Messi ya Polizi ziwani katika usiku wa Fiesta ulioburishwa na wasanii kutoka Dar na Zenj.
Wasanii wa Kizazi kipya wakilivyamia jukwaa la messi ya Polisi katika Fiesta ya Nguvu iliofanyika usiku wa jana katika ukumbi huo.
Teknolojia : Serikali Yaombwa Kutazama Upya Ghrama za Usajili na Kodi kwa
Vyombo vya Habari vya Mtandaoni
-
Serikali imeombwa kupunguza gharama za usajili wa vyombo vya habari
mtandaoni (Online Media) ili kutoa fursa kwa vijana wengi zaidi kujiajiri.
Ombi hil...
6 hours ago
0 Comments