6/recent/ticker-posts

Rais Dkt Shein azungumza na Balozi Mteule wa Sweden Ikulu Leo.


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed Shein akizungumza na Balozi mteule wa Tanzania nchini Sweden Mhe,Dora Msechu , aliyefika Ikulu Mjini Zanzibar leo
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed Shein akifuatana na   Balozi mteule wa Tanzania nchini Sweden Mhe,Dora Msechu , aliyefika Ikulu Mjini Zanzibar leo,baada ya mazungumzo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed Shein akiagana na    Balozi mteule wa Tanzania nchini Sweden Mhe,Dora Msechu ,  aliyefika Ikulu Mjini Zanzibar leo,baada ya mazungumzo ,[Picha na Ramadhan Othman Ikulu.]


Post a Comment

0 Comments