Eneo ambalo lilikuwa na taa zakuongozea magari katika kiplefti cha barabara ya Khamis machungwa mkunazini makutano ya barabara ya michezani na ya mnazimmoja.Taa hizo zimetolewa na kufanyiwa ukarabati kuweka taa za kisasabaada yakuondolewa zile za zamani ambazo zilikuwa kwa kipindi kirefu bila ya kutowa huduma hiyo kwa watumiaki wa barabara hiyo.
Serikali Yatajivunia Mafanikio ya Maboresho ya Bandari ya Dar es Salaam
Katika Siku 100 za Uongozi wa Rais Samia
-
Na Avila Kakingo, Michuzi Tv
MSEMAJI wa Serikali na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na
Michezo, Gerson Msigwa, amesema Serikali ya Awam...
51 minutes ago
0 Comments