VIPAJI vya aina
hii vya watoto, kuelekea kwenye upigaji wa ala na gita za muziki, vinafaa
kuungwa mkono na serikali kupitia wizara yake inayoshughilikia utamaduni, ambapo watoto wa kisiwa cha Kojani, wamekua
mstari wa mbele, kuacha kazi za uvuvi baadhi yao na kujaribu suala la upigaji
wa alaa na muziki kwa kutumia vifaa vya matumizi ya ndani (picha na Haji Nassor, Pemba)
UELEWA WA PAMOJA KWA USTAWI WA PAMOJA: WANAHABARI WANOLEWA KUHUSU DIRA 2050
-
Wanahabari wametakiwa kuwa daraja la kuifikisha kwa umma mikakati na
malengo ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 ili kuhakikisha kunakuwepo
uelewa wa pamoja...
1 hour ago
1 Comments
Mwandishi jaribu kuwa makini kidogo. Hivi kushajihisha vijana kama Hawa kuacha kazi ya kuvua na kuingia kwenye shughuli za upigaji Wa ala za muziki ndio umesaidia nini. Nilitaraji utatilia mkazo Wa kuwepo while ns kupata elimu ya kuendeleza maisha yao name taifa kwa ujumla
ReplyDelete