Skuli ya sekondari ya Kusini iliyopo Makunduchi imepokea msaada wa madeski 20 wenye thamani ya Tshs. 5 milioni kutoka kwa Bi. Christin Stromberg kutoka Sundsvall. Madeski hayo yatawapatia vikalio wanafunzi 60. Msaada huo umewasilishwa na ndugu Mohamed Muombwa kwa uongozi wa Skuli.
Serikali Kuimarisha Utendaji wa Watumishi wa Umma Kupitia Mageuzi ya
Kidijitali -Ridhiwani Kikwete
-
SERIKALI imeeleza dhamira yake ya kusogeza huduma karibu na wananchi na
kuongeza uwazi katika ajira za umma kupitia matumizi ya teknolojia ya
kidijitali, ...
4 hours ago

0 Comments