Meli ya Kitalii ya Nautica ikiwa katika Bandari ya Malindi Zanzibar ikiwa na Watalii 400 kutoka Nchi Mbalimbali Wakitalii katika Visiwa vya Zanzibar na Kujionea sehemu za Historia ya Zanzibar. Wakiwa Zanzibar kwa Siku moja.
TANZANIA YATUMIA MICHUANO YA AFCON 2025 KUUZA MAZAO YA UTALII
-
Na mwandishi wetu, Morocco
NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamad Hassan Chande (Mb), amesema
Tanzania inatumia fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (...
5 hours ago
0 Comments