Uzinduzi wa Umoja wa Mabloggers Johannesburg, mtandao wa mabloga 18 wa Sub-Saharan Africa; #AfricaBlogging . Ni mtandao wa mabloga wa kimataifa utakaohusika zaidi na masuala ya kukuza demokrasia na uwajibikaji kupitia kazi za kublogi. Nimebahatika kuwa mmoja wa mabloga hao nikiwa na pia mjumbe wangu Chambi Chachage, tukiwakilisha Tanzania. Ukiwa na muda soma makala yangu ya kwanza kwenye mtandao huo;http://www.africablogging. org/time-for-girls-football/
TUME YA UCHUNGUZI YAKUTANA NA Jenerali George Waitara
-
TUME ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza Wakati na
Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, Leo Februari 13 imekutana na Mkuu wa
Majesh...
11 minutes ago

0 Comments