Wafanyabiasha wa mbao na miti katika eneo la kijangwani Unguja tayari wametekeleza amri ya kuhama katika eneo hilo na kuhamia katika sehemu waliopangiwa barabara ya daraja bovu kuaza kufanya biashara zao. Kupisha eneo hilo kwa ajili ya ujenzi wa kituo cha gari za daladala.
Mradi wa CookFund unaofadhiliwa na Umoja wa Ulaya (EU) na kutekelezwa na
UNCDF waleta Mageuzi ya matumizi ya Nishati katika taasisi za umma.
-
Dar es Salaam, Tanzania
Zaidi ya wanafunzi 62,000 kote Tanzania sasa wananufaika na majiko salama
na safi zaidi kufuatia usakinishaji wa zaidi ya majiko...
1 hour ago
0 Comments