Wananchi wa sehemu mbalimbali za Zanzibar na wageni waliofika Zanzibar wakiwa katika viwanja vya bustani ya forodhani wakisubiri kuukaribisha mwaka mpya na kuuaga mwaka 2016 katika viwanja hivyo kwa kupata vyakula mbalimbali vya kizanzibar katibu bustani hiyo. Usiku huu.
VITONGOJI VYOTE MKOA WA KILIMANJARO SASA KUWA NA UMEME
-
📌 Wananchi wahamasishwa kuanza kufanya wiring kupokea mradi wa vitongojini
📌 Wananchi watakiwa kulinda miundombinu ya umeme
📌 Bilioni 33.5 kupeleka um...
6 minutes ago
0 Comments