Kiongozi wa Kampeni ya Kuinua Maadili Kitaifa Bi Mayrose Kavura Majinge, siku ya Jumamosi Jan 14, ameweza kushirikiana na wadau mbali mbali jijini hapa Washington kwa lengo la kuinua Maendeleo Maalum ya Maadili Kitaifa, yaliyoanza rasmi kufanyika mwezi huu Januari hadi Disemba 2017, kwa lengo la kuinua na kudumisha maadili ya Watanzania ili kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazodhoofisha mfumo wa muundo wa jamii yetu ya Kitanzania.
RAIS SAMIA AIBUKA KINARA TUZO ZA UHIFADHI NA UTALII
-
● Rais Samia atunukiwa Tuzo Maalum ya Kiongozi Mwenye Maono
● Watalii wa kimataifa wafikia zaidi ya milioni 2.09 mwaka 2025.
RAIS wa Jamhuri ya Muungano ...
1 hour ago
0 Comments