6/recent/ticker-posts

Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein, Afunga Mkutano wa Kampeni ya Mbunge wa CC Jimbo la Dimani Zanzibar Viwanja vya Fuoni Skuli.


Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein akimtambulisha Mgombea Ubunge wa Jimbo la Dimani Ndg Ali Juma Ali wakati wa mkutano wa kampeni wa ufungaji uliofanyika katika uwanja wa skuli ya msingi Fuoni Wilaya ya Magharibi B Unguja. 




















Post a Comment

0 Comments