BIASHARA ya tunda aina
ya Tikiti maji, imepooza katika siku za hivi karibuni kisiwani Pemba, licha ya
wakulima na wachuuzi wa bidha hiyo, kupunguza bei, lakini kumekuwa na tatizo la
wateja ingawa hata wakulima nao wameongezeka, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
CCM MOROGORO YATAKA WANACHAMA KUDUMISHA AMANI KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA
49 YA CHAMA
-
Na Farida Mangube, Morogoro
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Morogoro, Mhandisi Joseph
Masunga amewataka wanachama wa chama hicho kuendelea...
57 minutes ago
0 Comments