Wafanyakazi wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar ZSSF wakiwa katika zoezi la kuhakiki Wanachama Wake wanaopokelea Mafao yao ya Pensheni kupitia ZSSF, likiendelea katika Makao Makuu ya ZSSF Kilimani Zanzibar na katika Matawi yake Kisiwani Pemba na Jijini Dar es Salaam, wanafanyia Uhakiki katika Ofisi ya Shughuli za SMZ ilioko Magogoni Jijini Dar es Salaam.
BUNGE LA 13 LAUNDA LAMATI 17, UPINZANI WAPENYA HUKU WANAWAKE WAKIWA WENGI
ZAIDI
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma
Bunge la 13 limeunda jumla ya Kamati 17 huku wanawake wengi wakichomoza
kuongoza kamati hizo, Wabunge wa upinzani wa C...
3 minutes ago
0 Comments