Wafanyakazi wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar ZSSF wakiwa katika zoezi la kuhakiki Wanachama Wake wanaopokelea Mafao yao ya Pensheni kupitia ZSSF, likiendelea katika Makao Makuu ya ZSSF Kilimani Zanzibar na katika Matawi yake Kisiwani Pemba na Jijini Dar es Salaam, wanafanyia Uhakiki katika Ofisi ya Shughuli za SMZ ilioko Magogoni Jijini Dar es Salaam.
GGML Kili Challenge Yashiriki Maonesho ya Kilimanjaro Marathon 2026
-
Moshi, Tanzania
GGML Kili Challenge inayotekelezwa kupitia GGML Kili Trust, inashiriki
Kilimanjaro Marathon 2026, maarufu kama “Mbio za Watu”, kupitia ma...
3 hours ago
0 Comments