Afisa wa Ushirikiano wa Ubalozi wa Switzerland Bi. Romana Tedeschi akizungumza na kutowa salamu za Nchi yake wakati wa hafla ya utilianaji wa saini ya makubaliano ya miaka miwili kati ya Kampuni ya Novartis na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kupitia Wizara ya Afya Zanzibar kupata habari za sms kutoka katika Vituo vya Afya vya Unguja na Pemba kuhusiana na upungufu wa wa dawa katika vituo hivyo kupitia Mtando wa Simu wa Vodacom.
Samsung A26 Leo Alhamisi kwa Kubashiri Rahisi Kupitia *149*10#
-
BILA Intanenti ni rahisi kabisa kuingia kwenye kinyang’anyiro cha
kushindania Samsung A26 na Meridianbet leo. Alhamisi ya Zawadi ipo kwaajili
yako siku y...
1 hour ago
0 Comments