Naibu Waziri Wizara ya Habari Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar Mhe. Choum Kombo Khamis akizungumza wakati wa Maadhimisho ya Maulid ya Kuzaliwa Mtume Muhammad SAW yaliofanyika katika Masjid Mushawar Muembeshauri Zanzibar.Akimuwakilisha Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein.
GGML Kili Challenge Yashiriki Maonesho ya Kilimanjaro Marathon 2026
-
Moshi, Tanzania
GGML Kili Challenge inayotekelezwa kupitia GGML Kili Trust, inashiriki
Kilimanjaro Marathon 2026, maarufu kama “Mbio za Watu”, kupitia ma...
6 hours ago
0 Comments