Wananchi wakiangali gari iliopata ajali katika barabara ya Kariakoo na kuacha njia na kugonga ukuta wa Uwanja wa Kufurahia Watoto Kariakoo Zanzibar, na kubomoa sehemu ya ukuta huo.Na gari hiyo kupata hasara kubwa.
Benki ya Stanbic yatoa zawadi za msimu wa sikukuu kupitia Kampeni ya Masta
wa Miamala
-
Benki ya Stanbic Tanzania imetoa zawadi za msimu wa sikukuu kupitia kampeni
inayoendelea ya Masta wa Miamala.
Akizungumza kwenye hafla hiyo iliyoambatana ...
8 hours ago






0 Comments